Maranatha Media Kenya
Mwandishi Adrian Ebens
Iliyochapishwa Jan 11, 2022
48
Vya kupakuliwa 229

Lugha Zingine

English

Kwanini Adamu na Hawa waliogopa pale Mungu alipowaijia Bustanini? Nini kilibadilisha mtazamo wao juu ya Mungu

Kwanini Adamu alimwita mke wake jina la Hawa? Maana ya kigiriki inayoendana na jina hili ni Uzima au chanzo cha Uzima. Je, hili huashiria uhamisho wa utii?

Kwanini Mungu aliwafukuza kutoka nje ya Bustani? Kwanini hili lilihitajika?